*HATUA KWA HATUA MALEZI YA VIFARANGA*

Na *Comrade Ally Maftah*
0762212623
*Kwa Kifupi Sana fanya yafuatayo utanishukuru*
Kwanza kabisa vifaranga wanahitaji Sana Mambo yafuatayo yazingatiwe.
👉Joto
👉Chakula Safi
👉Maji Safi
👉Mzunguko mzuri wa hewa
👉Idadi sahihi ya Vyombo vya chakula na Maji
👉Randa Safi ,zisizo na vumbi, kavu
👉 Biosecurity/ usalama wa viumbe.
NISEME TU KWAMBA FUATA HAYA KWA VITENDO KABISA UTAFAULU
👉 *WIKI LA KWANZA*
👆Siku ya kwanza kabisa ( Glucose/Glucovet inategemea wametoka umbali gani wanaweza kupewa masaa 3-24).
👆 *Multivitamins* Mfn! Neoxychick, Chick formula ,Tetracovit Kwa siku ya kwanza Hadi ya 3-5.
👆Siku ya 6 huwa tunashauri wapewe maji tupu,
👆Siku ya Saba ni chanjo ya kwanza ya NEWCASTLE/ KIDERI-MDONDO
👉Muda huu wote watakua wanatumia chakula cha Starter/ Broiler starter.
*WIKI LA PILI*
👆Siku ya nane Hadi siku ya 12 Wapewe vitamins zipo Aina nyingi Sana *Mfn* :Aminototo, Introvit Farmvita, Dad OCTAVIT, etc
👆Siku ya 13 wapewe maji matupu ( japo hata ukiwawekea vitamins si mbaya).
👆Siku ya 14 wapewe chanjo ya Pili ya Infections Bursal Disease / Gumboro
👉 Muda huu wote wapewe chakula cha Starter/ Broiler Starter.
*WIKI LA TATU*
👉Hapa tuna wagawa kuku kutokana na Aina
👆 *KUKU WA NYAMA/BROILERS*
👉Siku ya 14 au15 Hadi ya 22 wapewe Grower Pellets ( Kwa uzoefu wangu).
👆Hapa hawa kuku wanaweza kupewa Vitamins au Broiler Booster Mfn : Introvit A , Galvet am aUtravin broiler booster.
👆Siku ya 21 kuku Broiler wapewe chanjo moja wapo Kati ya Gumboro au KIDERI ( Hii inategemea MAZOEA ya namna ya kuchanja kuku kutokana na mkoa ulipo).
👉 *_KWA KUKU WANAOANDALIWAKUTAGA ( CHOTARA, LAYERS , KUKU WA KIENYEJI)._*
👆Wapewe chakula cha Starter Mashi inaenda mpaka wiki ya 7 au wiki ya 8 (inategemea maelezo ya chakula unachotumia na kampuni uliyo nunua chakula).
👉Siku ya 21 kuku hawa watapewa Chanjo ya pili ya Newcastle/KIDERI/MDONDO
👆Siku ya 28 kuku wanao andaliwa kutaga wa

Comments

Popular posts from this blog